Shirika la Safe Space for Children and Young Women Tanzania, tarehe 2.9.2021 limekabidhi madawati 50 yatakayosaidia wanafunzi 100 pamoja viti na Meza vya walimu 12 katika shule ya msingi Chamabanda Mkoani Mwanza
Shirika la Safe Space for Children and Young Women Tanzania, tarehe 2.9.2021 limekabidhi madawati 50 yatakayosaidia wanafunzi 100 pamoja viti na Meza vya walimu 12 katika shule ya msingi Chamabanda Mkoani Mwanza